November 22, 2012




 
DJ CHOKA KATIKA POZ
 
   Unapozungumzia  mchango  wa  bongo  freva  kukua,  ukiwataja  wadau  basi  hutomuacha  DJ maarufu  Bongo  na  mmliki  wa  blog  ya  djchoka.blogspot.com
Kuna  kila  haja  ya  kumpongeza  kwani  leo  hii  mkewe  amebahatika  kujifungu  mtoto  wa  kiume katika  Hospitali  ya   LUGALO. mungu  amjalie  aweze  kumlea  katika  mazingira  adifu  na  kumpatia  afya.
Photo: Official dad of one son..thanks GOD and thanks ma lov Asiath   
PICHA   YA  MTOTO WA DJ CHOKA

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE