November 23, 2012

                                                                                NGWESA
             
Mwana harakati juu  ya  kuutangaza  utalii  wa  Tanzania  na  mmiliki  wa  blog  ya  ngwesa.blogspot.com inayohusika na  maswala  ya  utalii  na  mali asili,  ametunukiwa Degree  yake  ya  kwanza  ya   utalii na  ulisi wa mali za utamaduni katika chuo  kikuu cha  DODOMA ( U-DOM)
 Ngwesa  pamoja  na  wahitimu  wengine wa  chuo  hiko walifanyamahafali  hayo  jana  Tarehe  22 Chuoni  hapo,  huku  yakihudhuliwa  na   viongozi  mbalimbali wakiongozwa  na  Rais  wa  awamu ta  tatu  Mzee  Benjamini    Mkapa
Chancellor wa Chuo Kikuu cha Dodoma  Mh.Benjamin William Mkapa akiongoza maandamano
 
Baadhi ya waathiri wa chuo kikuu cha Dodoma wakiwa kwenye maandamano
 
  Ngwesa wa  katikati akiwa  na wahitimu wa shahada ya Utalii wakiwa tayari kabisa kwa mahafali
 
 
 
Hapa  Ngwesa  akiwa  na Joseph Lukaza wa Lukaza Blog
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE