December 05, 2012

 
 
Mkali  wa  muziki  wa  kizazi  kipya  nchini toka  mkoani  Tanga Joseph Lushahu 'Bwana misosi'Ameamua kuvuta  pumzi  kwa  kuamua  kuimba  kwa  mtindo  wa Rhumba   
Bwana Misosi amefunguka kuwa  siku si nyingi anataraji kuachia ngoma yake mpya inayoitwa 'Iweje' iliyofanyika  katika  studio  za  jiko(Studio) la Hm Records  iliyopo Kawe
"Si kama  nitaacha kuimba  bongo fleva moja kwa moja, nimeamua kupiga Rhumba kwa sababu ni moja ya style ambazo zipo kwenye muziki na watu wanazifanya wanatusua  soo, baada ya ngoma kutoka  kitafuatia kichupa ambacho pia kitanyongwa  hapo hapo Hm". alisema Bwana Misosi akizungumzia  kuhusu  hilo.

Chanzo: baba jonii

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE