December 04, 2012

                                                                            DIVAPICHANI

Kundi  la   Wasanii  wanaotokea Tanzania  House  of  Talent   T.H.T, Mwezi  huu   wataungana  pamoja  na  mwana  dada  na  mtangazaji  wa  Clouds  fm  anayefahamika  kwa  jina  la  Diva Loveness  katika  mpango  wake aliounzisha  wa  kuwasaidia  watoto  wanaoishi  katika  vituo  maalu.

Taarifa toka katika  blog  ya  dva  inasema  wasanii  hao  wameamua  kuungana naye,  katika  kuhadhimisha  miaka  kadhaa  ya  kundi  hilo.

Baadhi  ya  picha  za  wasanii  wa  T.H.T wakiwa  na Usher Raymond

Katika  mtandao  wa  Diva  ameandika

 DIVA GIVING FOR CHARITY NI 9/12/2012 PALE ALMADINA CHIDREN HOME TANDALE

Diva Giving for Charity ni siku ya Tarehe 9/12/2012 Pale Tandale katika Kituo Cha Almadina Children Home.
Kituo Kina Ongozwa na Kuendeshwa na Bi.Kuruthum Yusuph Juma ana Miaka 53 na Ni Mtu wa Mafia ila Hapo Amepanga na analipia mil3 kwa Mwezi na Sehemu ni ndogo sana na Mazingira Ni Magumu sana ,Kuna Watoto 52 ambao ni yatima , Wanaume 24 na Wanawake 28 kuna watoto waliomaliza Darasa la 7 ni   5 na wanatakiwa kwenda sekondari, waliokuwepo Msingi ni 33 , sec 8, na waliobaki wote ni wadogo hawajaanza haa chekechekea.

Mahitaji.
Mahitaji yote muhimu anayohitaji mtoto.
Muhimu Ni Kuchangia na unachangia vipi ni tigo Pesa 0655 879287 kwa mawasiliano zaidi tafadhali wasiliana nami kwa email ya morales.gissele@yahoo.com

Ntaongozana na THT Ambao nao wanatimiza Miaka kadhaa ya THT Yaani Birthday yao na watatoa 20 Percent yao kusaidia katika Diva Giving for Charity kwa ajili ya watoto hao,Thanks to My Boss Ruge Mutahaba kwa Moyo huo na wewe pia unaweza kufanikisha hili.

The Diva Herself Loveness Love explains her reasons for starting the Movement, “When I was young and I would watch television and I would see all the children suffering, I always said: when I grow up, I want to help.”
From taking time out for little acts of kindness  her commitment to helping children has extended to becoming a 'Ambassador at New life Orphans Home Kigogo.
KUTOA NI MOYO NA SIO UTAJIRI.
Thanks...
Diva


 
Ziara  ya  kwanza  ya  Mpango  wa  kusaidia  watoto  wa  Diva


 
                          Pichani  ni  baadhi  ya wadau, amini,  gossip, Lameck ditto na wengine wengi
 
Tunakutakia  mafanikio  katika harakati  zako.




Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE