December 12, 2012

 
Francis  Cheka

   Bondia   maarufu  nchini  na  nje  ya  nchi  toka  mkoani  Morogoro   Francis  Cheka  ameibuka  na  kumtupia  shutuma  Bondia  mwenzake  wa  kimataifa  Mike  Iron  Tyson  kufuatia  taarifa  za  kujibadilisha  jinsia  na  jina  na sasa  akifahamika  kwa  jina  la  Michelle.

  Akizungumz  na  mwandishi wa  habari  hizi   cheka  amesema, huku akionekana  kuwa  ni  mwenye  machungu  juu  ya  uamuzi  juwo  wa  bondia  mwenzake

 " Binafsi licha ya habari hizo kulipotiwa kwenye vyomba mbali mbali vya habari duniani kote lakini bado hakili yangu haiamini kama Tyson ninayemjua mimi anaweza kufanya ushenzi huo,ambao kimsingi umezalilsiha mchezo wa ngumi hapa dunia na kwamba kwa revo aliyofikia hapna shaka yoyote yeye ni kioo cha jamii kote dunia hivyo uamuzi wake huo unaweza kuwapotosha watu wengi kutoka mabara yote ya dunia likiwemo bara letu la afrika"

 

                               Tyson  anayedaiwa  kubadili  jinsia

  Habari zilizolipotiwa kwenye vyomba vya habari toka jana zilidai kwamba bondia Tyson kwa uamuzi wake mwenyewe ameamu kubadili jinsi na kuwa na jinsia ya kike na kwamba habari hizo zimezidi kudai kwamba bondi huyo nyota wa zamani alionekna mwenye furaha baada ya kutoa eda ya kila mwenye.

Photo: CHEKA AMSHUKIA TYSON KWAHATUA YAKE YA KUBADILI JINSIA NA KUWA DEMU.

LEO asubuhi na mapema baada ya kusoma magazeti ya leo ambayo mengi yameandika habari zinazuhusu bondia nyota dunian  Mike Tyson kubadili jinsia na kuwa mwanamke taaria ambazo zilionekana kuwachefua watu wengi.

Kufuatia hali asubuhi ya leo nilifunga safari hadi nyumbani kwa bondia nyota afrika mashariki na kati Farancis Cheka anayeishi maeneo ya kilima hewa jirani,

Alipotakiwa kueleza tukio hilo Cheka alionekana kuchukizwa sana na kudai kwamba Tyson ameuzalilisha mchezo huo wa ngumi duniani.

" Binafsi licha ya habari hizo kulipotiwa kwenye vyomba mbali mbali vya habari duniani kote lakini bado hakili yangu haiamini kama Tyson ninayemjua mimi anaweza kufanya ushenzi huo,ambao kimsingi umezalilsiha mchezo wa ngumi hapa dunia na kwamba kwa revo aliyofikia hapna shaka yoyote yeye ni kioo cha jamii kote dunia hivyo uamuzi wake huo unaweza kuwapotosha watu wengi kutoka mabara yote ya dunia likiwemo bara letu la afrika"alisema Cheka ambaye baada ya mahojiano aliniomba rifti ya kuja mjini.

Katika hatua nyingine  baada ya kufika katikati ya mji wa Morogoro Cheka alijikuwa kwenye wakati mgumu baada ya mashabiki wenzake wa simba kumshutumu kwa kitendo cheke cha kuvaa jezi ya rangi za njano na kijani ambayo ni rangi za wapinzani wao jazi Yanga.

habari zilizolipotiwa kwenye vyomba vya habari toka jana zilidai kwamba bondia Tyson kwa uamuzi wake mwenyewe ameamu kubadili jinsi na kuwa na jinsia ya kike na kwamba habari hizo zimezidi kudai kwamba bondi huyo nyota wa zamani alionekna mwenye furaha baada ya kutoa eda ya kila mwenye.
 
'KUTOKA wa mwandishi wa habari hizi,kwa mujibu wa vitabu vya dini zote mbili ni kwamba mwisho wa dunia kutatokea mambo ya ajabu ambayo ni mageni machomi na masikioni mwa watu,binafsi nakumbuka tukio lile la sodoma na gorola ambalo Mungu alichukizwa na vitendo kama hivyo na kuamu kuiangamiza dunia kwa majini na kwamba wale watu wachache waliotia amri zake aliwatengeneze safina"
                       Cheka  akiwa  amepakizwa  na  mwandishi  wa  habari  hizi baada  ya  maojiano.


Na  Dustan Shekidele  Morogoro

 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE