April 18, 2013

 

    Msani  wa  muziki wa  Hip  Hop  toka  254  Kenya  Jua  Cali  au  baba  yao,  amesema  anakuja  na  albam  yake  nyingine  itakayoitwa  Tugange  yajayo.  Akizungumza na ubalozini.blogspot.com . Amesema

  Album inaitwa TUGENGE YAJAYO.Inatoka nxt month May.Ikona 15tracks hio ni plus interludes.Nimeifanya yote calif records.
 
  Blog  hii  ipo  nawe  pamoja  san  jua  cali  katika  harakati hizi  za  music  wa  Arica  Mashariki

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE