April 17, 2013



  
Linex Sunday

   Mwanamuziki  anayefanya  poa  sana  katika  ardhi  ya bongo,  Linex  Sunday  Mjeda,  amesema  kwamba  amefurahi  sana  kufanya  kazi  na  mtu  anayemzimia  sana  katika  game  hili.  Linex  ameandika  katika  ukurasa  wake  wa  face  book

 "Siku ya leo imekua nzuri sana kwangu nimepiga kazi na mtu nnaemzimiaga kitambo linex ft wyre cumn soon but sita ahidi ni lini itatoka but saiz ndo kazi imeisha God is good"
 Ameandika  Linex

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE