May 28, 2013

 
MANGWEA ENZI ZA UHAI WAKE
  
  Mwanamuziki wa bongo freva nchini Tanzania Albert Mangwea maarufu kama Man Ngwea Amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospital ya St Hellen ya nchini  Afrika  ya kusini 

  sababu za kifo chake toka kwa mtu wa karibu:

                               

   Habari kutoka kwa mtu wa karibu na Rapper Ngwea, aliejitambulisha kwa jina la Hamisi, amesema Ngwea alikua kule kwa mualiko wa kufanya show South Africa, ambapo alikua na msanii mwingine anaeitwa M to the P, na walitakiwa kuondoka leo kurudi Dar saa tatu asubuhi, lakini baada ya kuona hawatokei ndio wakaamua kwenda walipokuwa wamefikia na kuwakuta wote wawili wakiwa hawajielewi baada ya kujidunga madawa ya kulevya mengi (overdose), walipowahishwa hospitali, habari ndio ikawa hivi, kuwa Ngwea amefariki na M to the P yuko hoi hospitali
      May God give you peace brother.

>

Related Posts:

  • Waliomuiba Albino Pendo Wakamatwa Mwanza   Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amesema watu wote waliohusika ‘kuiba’ mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (albino) Pendo Emmanuel (4) katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba, Mwanza, wamekamatwa. … Read More
  • Mchinjaji wa IS 'Jihadi John' atambuliwa   Bwana huyo ambaye taswira yake akiwachinja mateka kwa kisu bila huruma ndiyo nembo ya wapiganaji hao sasa ametambuliwa kuwa anatokea Uingereza. Shirika la Habari la BBC limetambua kuwa jina lake kamili ni Moham… Read More
  • Waethiopia 13 wakamatwa wakisafirishwa Morogoro   Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro  limewakamata  wahamiaji haramu 13  kutoka nchini  Ethiopia wakiwa kwenye gari ndogo aina Prado  katika kijiji cha Lusanga  Turiani  wilayani Mvo… Read More
  • Tp Mazembe yasajili watatu    Kikosi cha TP Mazembe cha Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo  Timu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo imewasajili wachezaji watatu wapya toka kwenye timu ya taifa ya Ivory Coast. Nyota … Read More
  • Chidi Benzi aikwepa miaka miwili jela   MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemwachia huru mwanamuziki Rashid Makwilo 'Chid Benz' baada ya kulipa faini ya shilingi laki tisa sh:900,000/=.  Awali Chidi Benzi alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE