Dayna Nyange ni moja ya wasanii wa kike hapa Tanzania wanaofanya vizuri na kukubalika sana katika jamii ya wapenda Burudani Afrka mashariki. Sasa kama hujawahi kumuona akiwa jukwaani akifanya show, tumia muda huu kutazama moja ya show zake akiwa na kundi lake la wakali Classic. Hapa ni Jamhuri Dodoma
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAHITIMISHA ZIARA YA UKAGUZI
WA MIRADI YA UMEME MKOANI NJOMBE
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekamilisha ziara yake ya
siku tatu mkoani Njombe kwa kukagua utekelezaji wa miradi ya Nishati
Vijijini (R...
55 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment