Dayna Nyange ni moja ya wasanii wa kike hapa Tanzania wanaofanya vizuri na kukubalika sana katika jamii ya wapenda Burudani Afrka mashariki. Sasa kama hujawahi kumuona akiwa jukwaani akifanya show, tumia muda huu kutazama moja ya show zake akiwa na kundi lake la wakali Classic. Hapa ni Jamhuri Dodoma
Wassira amchongea Mo Dewji kwa serikali kwa kutelekeza mashamba ya Rungwe
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen
Wassira ameitaka serikali kupitia Wizara...
The post Wassira amchongea Mo Dewji kwa...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment