July 23, 2013

 
  Mkali wa mwenye tuzo moja ya Hip Hop Tanzania Nay  wa Mitego, amemtaka Waziri mkuu mstaafu Edward  Lowasa kugombea urais na kuahidi kumpigia Kampeni. huu ni wimbo mpya wa ney utakujia hivi karibuni  Huku akimpa ujumbe Rizi One uende kwa  mzee
    
MASHAIRI YAKE:
Naongea na Riz one hey Riz One, we si mtoto wa raisi Riz one. Mwambie dingi yako Masela hawamuelewi wamakonde wa Mtwara hawataki tena Korosho, wanaitaka ges si mtawaua na mkong'oto?! Nani rafiki wa Lowasa anifikishie salam 2015 nataka agombee uraisi nitamfanyia kampeni wananchi wampe nafasi, 
# Salam zao# 
my new track coming soon.!!

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE