July 13, 2013

        

  Kama utakumbuka mwaka 2008 kuna nyimbo nyingi sana zilifanya vizuri , radio, club na kwenye vituo  vya  Luninga. Leo nimewakumbusha hili collabo la  Dully, MR: Blue na Joselin. wimbo unaitwa Dhahabu mtayarishaji MJ  katika studio za MJ Production. nikumbushe yako iliyotamba enzi zile.

facebook.com/ twitter.com/Ahmadi Machaku

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE