LOTTA |
Flavian Komba aka ROTA Toka kundi la Raccers la mjini Morogoro, ambaye ndiye Mkali wa Mistari huru wa Mikoa ya Dar na Pembezoni amedhihirisha yeye ni lulu katika fani baada ya kuachia pini lake jipya kabisa akijitambulisha mbele ya mashabiki wa Muziki Tanzania kwa Kutoka na single hiyo inayokwenda kwa jina la wajue, akimshirikisha yule Mkali wa Bongo fleva nchini Richie Mavoko ambaye amesimama katika Chorus, Nyimbo hiyo ambayo imetengenezwa na Mkali Dunga wa Madugu Digital imekuwa ni Gumzo katika vituo vingi vya Redio hapa Tanzania |
August 03, 2013
2:33 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
MY BABY YA QUICK RACKA NI STAMINA, YOUNG KILLER,IZO B NA MIRROR Quick Rocka ambae siku za nyuma kidogo alitupa kionjo cha ngoma na video yake mpya ambayo ameshirikiana na marehemu Mangwea na mwanadada Shaa inayokwenda kwa jina la My BABY ambayo anatarajia kuiachia h… Read More
NDANI YA ISUMBA LOUNGE LEO NA KILA IJUMAA NA DJ J D MATLOU TUKUTANE HAPA Furaha ya burudani ya miaka ilee sasa imerejea. Melegendari sasa wamekiri kuwa walichokikosa kwa muda mrefu, sasa kinapatikana isumba lounge -jollies club kila ijumaa na j'mosi. Ni katika night of the leg… Read More
AFANDE SELE AWACHANA WIKIPEDIA KUMUHUSISHA NA KILI MUSIC AWARDS Afande Sele akiwa na Madee siu ya msiba wa Ngwea Msanii wa uziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro ambaye ndiye mfalme wa Rhymes T… Read More
NEW: Viva Ft Burney Mc(Uganda) ,Willy Fololo(Kenya) -East African Metaphor Huu ni wimbo wangu Mpya ambao umefungua sura mpya ya kunzisha safari yangu ya muziki wa kimataifa..Naweza Sema ni wimbo uliozaaa mafanikio ya kuanzishwa familia ya Rap baina ya mcz toka nchi tofauti hapa africa.inay… Read More
CHID BENZI AIBUKIA KIKOSI CHA MIZINGA Katika hali ya kuwashangaza wengi , msanii Chidi Benzi kutofautiana na Kala Pina wa kikosi cha mizinga, usiku wa leo naye atakuwa ni mmoja ya wasanii wa watakaofanya show katika kuazimisha miaka 13 ya … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment