| LOTTA |
| Flavian Komba aka ROTA Toka kundi la Raccers la mjini Morogoro, ambaye ndiye Mkali wa Mistari huru wa Mikoa ya Dar na Pembezoni amedhihirisha yeye ni lulu katika fani baada ya kuachia pini lake jipya kabisa akijitambulisha mbele ya mashabiki wa Muziki Tanzania kwa Kutoka na single hiyo inayokwenda kwa jina la wajue, akimshirikisha yule Mkali wa Bongo fleva nchini Richie Mavoko ambaye amesimama katika Chorus, Nyimbo hiyo ambayo imetengenezwa na Mkali Dunga wa Madugu Digital imekuwa ni Gumzo katika vituo vingi vya Redio hapa Tanzania |
TUFUATE TARATIBU ILI KUDUMISHA AMANI YETU- MALECHA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Khalid Malecha, Mkazi wa Kitonga Jijini Dar Es Salaam, ameeleza kuwa maelfu
ya wananchi waliathirika moja kwa moja na ghasia na m...
24 minutes ago










0 MAONI YAKO:
Post a Comment