LOTTA |
Flavian Komba aka ROTA Toka kundi la Raccers la mjini Morogoro, ambaye ndiye Mkali wa Mistari huru wa Mikoa ya Dar na Pembezoni amedhihirisha yeye ni lulu katika fani baada ya kuachia pini lake jipya kabisa akijitambulisha mbele ya mashabiki wa Muziki Tanzania kwa Kutoka na single hiyo inayokwenda kwa jina la wajue, akimshirikisha yule Mkali wa Bongo fleva nchini Richie Mavoko ambaye amesimama katika Chorus, Nyimbo hiyo ambayo imetengenezwa na Mkali Dunga wa Madugu Digital imekuwa ni Gumzo katika vituo vingi vya Redio hapa Tanzania |
August 03, 2013
2:33 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
Naibu spika kuondolewa madarakani Ofisi ya Spika imepokea taarifa ya kusudio la kuleta Bungeni Hoja ya kumwondoa madarakani Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, iliyowasilishwa na Mbunge wa Simanjiro, Mhe. James Millya. … Read More
Ualimu haikuwa hobby yangu, nilifundisha basi tu – Roma Hivi unajua kuwa Roma Mkatoliki aliwahi kuwa mwalimu wa sekondari? Mkali huyo wa hip hop ameyazungumzia maisha yake kipindi anafundisha shule ya sekondari kwao mkoani Tanga. Akizungumza kwenye ‘Umeinyaka’ ya k… Read More
Rich Mavoko: "Mkataba wangu na King Kaka haukuwa na limitation" Msanii mpya wa lebo ya Wasafi, Rich Mavoko amefafanua mkataba wake wa mwanzo aliosaini na menejimenti ya King Kaka. Rich Mavoko kwa sasa amefanikiwa kusaini mkataba mpya wa miaka 10 na lebo ya Wasafi … Read More
Hotuma ya Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo Mama Anna Mghwira Hotuba ya Mwenyekiti ACT WAZALENDO katika mkutano wa Mbagala 05/06/2016 : Kukuza Demokrasia: Watu wa Temeke, Vita vya umaskini ni vita vya kutafuta dira na ramani ya mabadiliko. Ndiyo sababu ya kutafuta uongozi, ili… Read More
Picha: Mwana FA Afunga ndoa na kuuaga ukapera Mkali wa hit song kibao kama Bado niponipo sana, Hamis Mwnjuma Mwana FA amefunga ndo na mchumba wake aitwayeHelga na kuuaga ulimwengu wa ukapera na kuingia katika maisha mapya maisha ya ndoa. Ubalozini… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment