August 25, 2013

Joh Maker
    Fiesta Super Nyota ilianza mwaka 2012, Mshindi aliibuka Young Killer toka  Mwanza,  lakini nafasi ya pili ilikamatwa na Joh Maker toka mkoani Morogoro. Unazifahamu kazi zake? Mbona hsikiki kama mshndi namba moja Young Killer na mshindi namba Tatu Neylee? Alibahatisha au? Ngoma yake inakuja inatwa nakunyoa kipara imefanyika kwanza Records chni ya mtayarishaji mkali  mkoani Morogoro, VENT  Skills.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE