Akipiga
stori na Teentz alisema kuwa pesa hizo zimepatikana kutokana na kufanya
shoo mbalimbali na kuongeza kuwa anaamini pesa hizo zitaongezeka zaidi
ya hizo.
‘Namshukuru Mungu kwani Muziki Gani umenipa mkwanja wa kutosha na naamini zitaongezeka zaidi’alisema Nay.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment