Leo asubuhi Rapper Joulja Boy alitimuliwa kutoka ndani ya
ndege na kushushwa chini na Air Marshal baada ya kutokutii kauli ya
wahudumu wa ndege iliyowataka watu wote kukaa chini nakufunga mikanda
ili ndege ianze safari.
Rapper huyo aliendelea kusimama bila kutii wakati ndege inataka
kuanza safari na muhudumu (hostess) alimfata nakumuomba kwa upole akae
chini nakufunga mkanda lakini yeye hakutii ndipo walipoitwa Aior Marshal
kufanya kazi yao nakumtoa nje kama mwizi bila kujali yeye ni
nani.Marekani usipoti sheria haijalishi wewe Rapper au Mfalme.
Ila baadae kwenye Twitter yake Soulja Boy aliomba msamaha kwa yaliyotokea lakini waingereza wanasema the Damage has been done.....too little too late.
Habari hii na TMZ !
0 MAONI YAKO:
Post a Comment