August 14, 2013

 
Afande  Sele
   Mfalme wa  Rhymes Tanzania na mwanamuziki wa Hip Hop nguli, Afande  Sele, amesema hamfahmau msanii Roho  Saba, zaidi ya kujua  kazi zake, lakini amesema kwamba  hakuna msanii anayemkubali  wa  Hip Hop Tanzania kama huyu jamaa.
  Afande  Sele, ameandika hayo leo katika Page yake ya Facebook na kuthibitisha juu ya hilo.
  
Roho Saba,kiukweli simjui kwa sura huyu msanii wa HipHop ya Bongo zaid ya kujua kaz zake baadh kama Nakupenda HipHop na Waite polisi,ni kaz za kitambo lkn zimenifanya niseme ukweli huu kwamba ni msanii ninaemkubali kuliko wasanii wote wa HipHop hapa Bongo nikiwemo mimi japo'najikubali'lkn huyu m2 Roho Saba ni Roho7 haswaaa,ipo siku tz/afrika na dunia itakiri hilo,Anaweza saaaaana!nawe wamjua?ushamckiliza???
Like · · · 3 hours ago via mobile ·
 

Related Posts:

  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini NEC yamtangazaRais mteule wa Tanzania      Mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CCM John Pombe Magufuli ndiye rais mteule wa taifa la Tanzania baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili. Akitoa matokeo h… Read More
  • Washauri matokeo ya urais kuhojiwa mahakamaniWaangalizi wa uchaguzi wa Kimataifa wameitaka Tanzania kuifanyia mabadiliko ibara ya 41(7) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili kuruhusu matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani katika chaguzi zijazo. Sambamba na maba… Read More
  • Lowassa aitaka NEC imtangaze kuwa Rais Watanzania wenzangu! Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti wa Tume ya Tai… Read More
  • Matokeo ya uchaguzi wa rais wa ZanzibarZanzibar Electoral CommissionImage captionMaafisa wa kituo cha kuhesabia kura shehia ya Saateni, Zanzibar wakihesabu kura. Tume ya Uchaguzi Zanzibar imetoa matokeo ya uchaguzi wa rais ambayo yamehakikiwa kutoka baadhi ya maen… Read More
  • NMB Moshi watoa pole kwa wagonjwa KCMC Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB katika matawi ya Nelson Mandela na Mawenzi wakiwasili katika hosptali ya rufaa ya KCMC . Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kashusho akizungumza jambo n… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE