Afande Sele
Mfalme wa Rhymes Tanzania na mwanamuziki wa Hip Hop nguli, Afande Sele, amesema hamfahmau msanii Roho Saba, zaidi ya kujua kazi zake, lakini amesema kwamba hakuna msanii anayemkubali wa Hip Hop Tanzania kama huyu jamaa.
Afande Sele, ameandika hayo leo katika Page yake ya Facebook na kuthibitisha juu ya hilo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment