August 13, 2013

 
Msanii wa Hip Hop Bongo,Elibarik Emaniel‘Nay wa Mitego amefunguka kuwa kama akifariki dunia hataki aundiwe kamati za ajabu ajabu za wasanii wenzake wa muziki huo kwani wengi wao hutumia kamati hizo kama mitaji kwa kutafuna pesa za rambirambi.
 
Akifunguka kupitia account zake za facebook na instragram alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii wanasubiri wenzao wafe ili waunde kamati ili waweze kuzitafuna pesa kama ilivyokuwa kwenye msiba wa marehemu Albert Mangwea‘Ngwea’.
Aidha amefunguka kuwa ameamua kuzungumza hivyo baada ya kupokea vitisho kutoka kwa baadhi ya wasanii,baada ya kuwadis kupitia ngoma yake aliyoiachia ya Salaam Zao kuwa waliochukua pesa za rambirambi za Ngwea warudishe hata kimya kimya kwani muda wanao.
‘Zipo nyingi zingine za vitisho,nitazipost zote watu wangu mujue leo nimeanza na hiyo…! Ukweli unauma sana siogopi vitisho vyenu…pelekeni hela za marehemu hata kimyakimya bado nafasi mnayo,,,mi nikifa sitaki kamati za kwenye msiba wangu maana watu wanafanya misiba yetu mitaji yao’alisema Nay.

Related Posts:

  • UPIGAJI RAMLI SASA NI MARUFUKU    waziri wa mambo ya ndani Mathias Chikawe Akizungumza na waandishi wa habari wa BBC Serikali ya Tanzania imeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kupambana na vitendo vya ukatili wanaofanyiwa watu wenye ulemavu… Read More
  • NEW AUDIO/ MADEE- VUVULA Rais wa Manzese Hamad Ally almaarufuMADEE toka kundi la Tip Top Connection, hapa anakupa nafasi ya kusikiliza wimbo wake mpya kabisa unaoitwa VUVULA uliofanywa na producer DJMAPHORISA … Read More
  • AFRIKA KUFUNGUA MTANDAO WAKE WA AFRILEAKS   Afrileaks utakuwa kamna mtandao wa Wikileaks ambao kazi yake ni kufichua ufisadi Mtandao mpya mfano ule wa Wiki Leaks , unaolenga kutangaza visa vya ufisadi umezinduli… Read More
  • GAVAO LODGE INATOA HUDUMA MASAA 24   GAVA LODGE INAKUTAHARIFU WEWE MTEJA WAKE KUWA SASA IMEFUNGULIWA RASMI NA INATOA HUDUMA MASA 24. GAVAO LODGE IPO KIHONDA YOUTH MISSION MKOANI MOROGORO, MITA CHACHE KUTOKA BARABARA YA DODOMA. GAVAO LODGE INAKUPA HUDUMA … Read More
  • JINSI KURA ZA BALLON D' OR NA LIST YA WASHINDI HII HAPA Dakika chache zilizopita zimefanyika tuzo za Ballon d’Or ambapo wachezaji wa mwaka uliopita walikuwa wakitunukiwa na shirikisho la soka ulimwenguni, FIFA. Mwanasoka bora wa msimu uliopita mreno Cristiano Ronaldo a… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE