AFANDE SELE NA MWANAE TUNDA JEMA
Mfalme wa Rhymes Tanzania Afande Sele, ametoa Wasia kwa mtoto wake mpendwa Tundajema bnt Mfalme , katika wake wa Facebook afande ameeleza mengi kuhusiana na maisha ya mwanae juu ya elimu yake na taifa kwa jumla
2 hours ago
Wkt
bint yangu Tunda alipofaulu kuingia kunduch girls muslim high school
pale dsm,siku tuliyompeleka kuripot shuleni kwa kuwa anakaa
bweni(bording),nakumbuka nilimuasa'ewe tunda bint mfalme,bint yangu leo
unaingia sekondari ukiwa na miaka kumi na moja tu,hujafika la saba
umeishia darasa la sita lkn umefaulu kwenda sekondari ktk shule bora
itakayo kupa elimu ya dunia na elimu ya dini yako ya unyenyekevu(muslim),sasa usia wangu mimi baba yako ni kwamba nchi yetu tz,bara letu afrika hatuhutaji''wasanii''wapya tunahitaji wanasayansi,biashara,uchum i
nk wapya,hivyo soma masomo hayo kwa bidii ili wewe na taifa lako wafaid
elimu yako mwanangu',Tunda akasema poa na kweli anafanya kweli,Mungu
ibarik tz,mbariki TundaJema(TJ)bint mfalme sele wa pili!,
0 MAONI YAKO:
Post a Comment