October 04, 2013


 
 
Hii Itawashangaza wengi lakini mie nimeipenda sana , Baada ya Ney wa Mitego Kuiponda Bongo Star Search na Kuuliza kama kweli washindi  wanapewa zawadi huku akiwaponda kuwa wamechoka...Madam Rita Ameibuka na Kumpa Ujaji Ney katika shindano hilo ...Ataaza kuonekana Wiki Ijayo ,,Big up najua hii Itawavuta watu wengu kutazama show hiyo....

Related Posts:

  • Kilele cha tuzo za AFRIMMA 2015, Tanzania yanga'ara Good news kwa Tanzania… Yes, hii ni kwenye burudani kwa mara nyingine tena, Bongo Fleva ni muziki ambao umefika mbali kutokana na juhudi za watu wengi walioamua kuweka ngumu nyingi kuhakikisha huu muziki unafika kwenye… Read More
  • lowassa aiteka Tarime Vijana wa Mjini Tarime wakiongoza mapokezi ya Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, alipowasili mjini Tarime kwa Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 10, 2015.… Read More
  • Leo katika magazeti yetu ya TanzaniaKutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili  Octoba 11, 2015 tumeingia katika chumba cha habari cha TZA kinachomilikiwa na Millard Ayo na  tayari tumeyakusanya Magazeti yote ya leo hii  na stori zake kubwakubwa … Read More
  • Makamba amlipua Kingunge Katika mkutano mkuu wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa Tabora mjini ndg Emmanuel Mwakasaka, Katibu mkuu mstaafu wa CCM Taifa mzee Yusufu Makambakama mgeni rasmi azungumzia mengi ikiwa kumnadi Mgombea Urais, mgombea … Read More
  • New Audio| Vanessa Mdee - Nevar Ever| Download hapa Hatimaye wimbo mpya wa Vanessa Mdee NEVER EVER upo hewani kwa ajili ya kushushwa! Vanessa ambaye ni mshindi wa tuzo ya AFRIMMA Best Female Artist ameachia Video ya wimbo huu Intro: La La La La La La (Nahreel … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE