October 04, 2013

 Wasanii wa kundi la Wanaume TMK likiongozwa Chege na Themba wakiwaimbishabiki wao jukwaani
 Pichani ni Mwana FA na swahiba wake AY wakilishambulia jukwa kwa pamoja 
 Mwanamuziki kutoka nchini Nigeri,Jay Martins akiwaimbisha mashabiki wake kwenye tamasha la Serenget fiiesta 2013 ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga ,ambapo maelfu ya wakazi w amji huo walijitokeza kwa wingi uwanjani hapo kushuhudia yaliyiokuwa yakijiri kwenye jukwaa la tamasha hilo.
Maunda Zorro akiimba jukwaani ndaniya tamasha la serengeti fiesta usik  wa kuamkia  leo ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga.
Christina Bella akiwaimbisha mashabiki wake.
Mashabiki wakifuatilia yanayojiri jukwaani usiku huu.
Msanii wa hip hop anaekuja juu katika anga ya muziki huo,Stamina akiimba jukwaani
Pamoja na manyunyu ya mvua kusumbua sumbua hapa uwanjani,lakini mashabiki wala hawakutaka kubanduka uwanjani, Kweli  ni  noma  sana.
Msanii Neylee akiimba kwa hisia jukwaani.

Watu kibao Noma  sana.
Pichani kati ni msanii Ally Nipishe akiwa na madansa wake jukwaani
mashabiki kutoka kila kona walikuwepo.
Mashabiki wakishangwekwa vilivyo
Godzilla akikamua mbele ya mashabiki wake.
Linah akicheza na shabiki wake jukwaani-
Shilole na madansa wake wakilishambulia jukwaa kwa pamoja huku miluzi na mayowe ikiwa imetawala kila kona ya uwanja.

Gea Habib na mdau wake wakilifuatilia jukwaa la fiesta vilivyo yaliyokuwa

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE