October 18, 2013


 
 Msanii anayefanya vizuri kwenye anga la muziki Bongo, Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amefunguka kuwa shoo wanazofanya wasanii hapa nyumbani zinalipa zaidi kuliko zile za nje.
 
Ommy Dimpoz amesema kuwa, kulipwa mkwanja mdogo kwenye shoo hizo za mamtoni inatokana na idadi ya watu wachache wanaoingia kwenye shoo tofauti na Bongo ambako watu huwa nyomi.
 
“Naweza kusema hapa nyumbani tunalipwa pesa nyingi kuliko ile tunayopata tunapofanya shoo nje,…

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE