Habari zilizoenea leo ni kwamba Zitto
Amekwenda Uswiss kufuatilia mabilion ya yaliyotunzwa huko na mafisadi
...Jioni hii amepost kwenye facebook yake picha hiyo hapo juu akiwa na
caption hii hapa chini: "Siku ya kwanza ya kazi
hapa Uswiss, mikutano mizuri sana na Waziri wa Fedha na timu yake,
Shirika la Maendeleo #SDC na asasi ya #AllianceSud " Zitto
BRAND NEW SONG/ SINA MUDA - JCB, FID Q $ KALA PINA
Akiwa Sweden, JCB leo hii ametambulisha wimbo wake mpya "Sina Muda" akiwa na Fid Q na Kala Pina
Wimbo huu aliu-record wiki moja kabla ya kuondoka kwenda Sweden , na producer Black Slim kutoka Arusha....Sik…Read More
GAVANA KENYA ATIMULIWA MAMLAKA
Gavana Evans Kidero
Gavana wa mji mkuu wa Kenya Nairobi, Evans Kidero ametimuliwa mamlakani na mahakama ya rufaa.
Mahakama hiyo, imeamua kuwa Kidero na naibu wake Jonathan Mueke hawakuchaguliwa kiha…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment