Habari zilizoenea leo ni kwamba Zitto
Amekwenda Uswiss kufuatilia mabilion ya yaliyotunzwa huko na mafisadi
...Jioni hii amepost kwenye facebook yake picha hiyo hapo juu akiwa na
caption hii hapa chini: "Siku ya kwanza ya kazi
hapa Uswiss, mikutano mizuri sana na Waziri wa Fedha na timu yake,
Shirika la Maendeleo #SDC na asasi ya #AllianceSud " Zitto
SIKATI MAUNO ILI KUIPAGAWISHA MIDUME".....SNURA
Snura 'Majanga', Baada ya kukaa na maumivu moyoni kwa muda mrefu
hatimaye ameamua kufunguka na kusema kuwa anaumizwa sana moyo na
wale wote wanaomhusisha ama kumtuhumu kuwa njia yake kubwa ya kujipatia pesa ni kujiuza kw…Read More
FURAHA:BARACK OBAMA AMEMFOLLOW VENESSA MDEE KWENYE TWITTER
Hii itakuwa ni kwa mara kwanza kwa
mwimbaji wa Tanzania na pengine Afrika kuwa followed na Rais Barack
Obama wa Marekani kwenye twitter ambae ana zaidi ya followers milioni 40
lakini yeye anafollow watu laki s…Read More
MKESHA: KUMBUKUMBU YA SHARO MILIONEA
Ilikua
ni mwezi november tarehe 26 mwaka 2012 majira ya sa 2 usiku ndipo
ziliposambaa taarifa za kifo cha muigizaji na msanii wa muziki wa kizazi
kipya ‘Bongo Fleva’ Husein Ramadhan Mkieti ‘SHARO MILIONEA’.
Leo tare…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment