Habari zilizoenea leo ni kwamba Zitto
Amekwenda Uswiss kufuatilia mabilion ya yaliyotunzwa huko na mafisadi
...Jioni hii amepost kwenye facebook yake picha hiyo hapo juu akiwa na
caption hii hapa chini: "Siku ya kwanza ya kazi
hapa Uswiss, mikutano mizuri sana na Waziri wa Fedha na timu yake,
Shirika la Maendeleo #SDC na asasi ya #AllianceSud " Zitto
MILEY CYRUS APIGWA MARUFUKU SANTO DOMING
Serikali ya Jamhuri ya Dominican imempiga marufuku Miley Cyrus kufanya onesho lake katika mji mkuu kutokana na uchezaji wake.
Msanii huyo alikuwa afanye onesho lake Septemba 13 jijini Santo Domingo.
Mamlaka…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment