November 30, 2013


Shindano la Epiq Bongo Star Search 2013 linafikia ukingoni leo usiku (November 30), ambapo mmoja kati ya washiriki watano walioingia fainali atatangazwa kuwa mshindi.
Kila mshiriki ana sifa za pekee ambazo zinamtofautisha na washiriki wengine na huenda ikamsaidia kuibuka mshindi.
Jina moja kati ya majina haya litapamba vichwa vya habari kesho.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE