December 03, 2013


Kifo cha Star wa Fast and Furious,Paul Walker kimemrudisha tena Irene Uwoya katika vinjwa vya habari kwenye mitandao mbalimbali ya hapa Tanzania.

Msanii wa Bongo Movie Irene Uwoya amekula za pua (Kukosolewa) kwa baadhi ya mashabiki wake kwenye Instagram baada ya kupost picha ya moja kati ya mastaa wa movie hiyo ‘Vin Diesel’ na kuandika “Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe”
.


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE