Tumekuwa tukipokea ndoto mbalimbali kutoka kwa watu mbali mbali, na bado tunaendelea kupokea mpaka itakapofika siku ya kesho ambayo ndio itakuwa siku ya mwisho ya kupokea ndoto zenu.....Hivyo kama una nia ya dhati ya kuiishi ndoto yako siku moja, bado hujachelewa.... tutumie kwa barua pepe kupitia email yetu ya ndotozakitaa@cloudstv.com
Au tuletee moja kwa moja hapa mjengoni, ofisi za Clouds Media Group Mikocheni
.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment