Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama Cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willbroad Slaa uliofanyika Uwanja
wa Kiganamo, Kasulu Mjini jana umevunjika baada ya polisi kupiga mabomu
ya machozi wakikabiliana na vijana waliorusha mawe kupinga mkutano
usiendelee. Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, vijana hao wanadaiwa
kuwa kati ya 10-15 ambao walirusha mawe baada ya wananchi kuwafukuza
wakitaka kuwapiga wakipinga kitendo chao cha kupiga kelele ili mkutano
usiendelee ndipo polisi walianza kulipua mabomu ya machozi na mkutano
kuvunjika.
CHRIS BROWN AONGEZEWA MUDA JELA
Brown alifungwa jela baada ya kumchapa aliyekuwa mpenzi wake Rihana
Mwanamuziki wa Marekani Chris Brown atasalia jela kwa
siku nyingine 131 baada ya kukiri kukiuka amri ya mahakama kuhusu
kifungo cha nje al…Read More
HII NDIYO GHARAMA YA SHOW MOJA YA DIAMOND PLATNUMM
Diamond Platnumz atazidi kuwa si msanii tu wa kawaida bali ni moja kati
ya wasanii wengi wa kimataifa.ukiacha pesa anayotoza treatment na
mahitaji yake hadi kumpandisha kupiga show moja si ya kitoto, kaa utulie
u…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment