January 25, 2014

Picture

   Kituo cha Radio cha Planet cha mjini hapa, kimeanzisha mfuko maalum wa rambirambi za kuwachangia watanzania waliopatwa na maafa Wilayani Kilosa mkoani hapa.

   Kwa maelezo zaidi fika MT. Uluguru Hotel mjini Morogoro jilani na kituo kikuu cha daladala.
Au kwa mawasiliano piga namba +255 712 846  665  kupata maelekezo zaidi

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE