‘Nilipata nafasi ya kukutana na rafiki yangu Wyclef Jean nchini Dubai ambapo tulipata nafasi ya kuzungumzia mambo mbalimbali kwa mapana pamoja na kuzungumzia maono yetu ya maendeleo ya Afrika kutumia technolojia mpya pamoja na lengo la kupata maudhui kutoka Africa na kuyapeleka duniani kote, pia kuleta usawa katika maudhui ya kisiasa dunia kote’ – Joseph Kusaga
February 04, 2014
5:00 PM
Machaku
No comments
‘Nilipata nafasi ya kukutana na rafiki yangu Wyclef Jean nchini Dubai ambapo tulipata nafasi ya kuzungumzia mambo mbalimbali kwa mapana pamoja na kuzungumzia maono yetu ya maendeleo ya Afrika kutumia technolojia mpya pamoja na lengo la kupata maudhui kutoka Africa na kuyapeleka duniani kote, pia kuleta usawa katika maudhui ya kisiasa dunia kote’ – Joseph Kusaga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment