February 04, 2014


Mmiliki halali wa Yanga aibuka na kuidai klabu yake kutoka kwa viongozi wa sasa! Asema yeye na Tabu Mangala ndio walioisajili klabu serikalini mwaka 1967. Aongeza tokea Tabu Mangala ajitenge
na kuanzisha Pan Afrika 1975, yeye akabaki na hati zote za klabu na amekuwa akizilipia. Nini maoni yako?

Source: East Africa Television

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE