February 15, 2014

 

Nyomi ya wapendanao ikifuatilia kwa makini burudani.

Zawadi za Valentine zikiuzwa ndani ya Darlive kama zilivyonaswa na kamera yetu.
 
Dada huyu alishindwa kujizuia kuyarudi.
 
Tx Moshi Juniour akimtunza muimbaji wa Jahazi.
 
Mzee Yusuph na mkewe Leila wakiongea kitu mbele ya mashabiki.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE