February 15, 2014

Mwimbaji nyota wa pop, Christina Maria Aguilera ataikumbuka vyema siku maalum ya wapendanao ya mwaka huu (February 14, Valentine’s day) kwa tukio kubwa lililompa furaha na kumpigisha hatua nzuri katika maisha yake ya mapenzi.
Mwimbaji huyo alichumbiwa na boyfriend wake, Matthew Ruther ambaye ni mtayarishaji wa filamu. Christina alishare picha inayoonesha pete aliyovishwa akiwa ameshikiliwa mkono na mchumba wake huyo na kuandika, “He asked and I said…”
Mwimbaji huyo mzaliwa wa New York, Marekani aliwahi kufunga ndoa na Jordan Bratman November 19, 2005 lakini ndoa hiyo haikudumu na walilazimika kuachana rasmi April, 2011 wakiwa tayari wana mtoto mmoja wa kiume, Max Bratman.

Related Posts:

  • Msilipize kisasa: Malim Seif Katibu Mkuu wa CUF taifa Maalim Seif amewaasa wanachama wa cuf jimbo la Dimani kutolipiza kisasi kwa kitendo cha kuchomewa moto ofisi yao usiku wa kuamkia juzi. Maalim Seif ambaye ni makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar… Read More
  • CCM wamuonya Nape kauli zake kwa Lowassa   Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM) MKoani Arusha, Robson Meitinyiki, amemtaka K… Read More
  • Maharamia waziteka meli mbili za Iran    Kitengo cha Umoja wa Mataifa kinachoshughulikia mihadarati na Uhalifu kimesema kuwa maharamia wameteka meli mbili za Iran za kuvua samaki katika ufuo wa Somalia. Utakeji huo ni wa kwanza kufaulu tangu mwaka … Read More
  • Tuzo za watu 2015 zazinduliwa rasmi leo, mabadiliko makubwa yafanyika   Mhariri mkuu wa Bongo5  Bw. Fredrick Bundara akiwa pamoja na mwariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na waandishi wa habari katika uzinduzi wa Tuzo za watu 2015 Kampuni ya Bongo5 Media Group, imez… Read More
  • Aliyebaka mtawa akamatwa   Polisi nchini India wamemtia mbaroni mwanamume mmoja kuhusiana na ubakaji wa mtawa mmoja wa Kanisa Katoliki katika makaazi ya watawa Magharibi mwa Bengal. Viongozi wa Kikristo nchini India wamekosoa Serikali kwa k… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE