February 15, 2014

Mwimbaji nyota wa pop, Christina Maria Aguilera ataikumbuka vyema siku maalum ya wapendanao ya mwaka huu (February 14, Valentine’s day) kwa tukio kubwa lililompa furaha na kumpigisha hatua nzuri katika maisha yake ya mapenzi.
Mwimbaji huyo alichumbiwa na boyfriend wake, Matthew Ruther ambaye ni mtayarishaji wa filamu. Christina alishare picha inayoonesha pete aliyovishwa akiwa ameshikiliwa mkono na mchumba wake huyo na kuandika, “He asked and I said…”
Mwimbaji huyo mzaliwa wa New York, Marekani aliwahi kufunga ndoa na Jordan Bratman November 19, 2005 lakini ndoa hiyo haikudumu na walilazimika kuachana rasmi April, 2011 wakiwa tayari wana mtoto mmoja wa kiume, Max Bratman.

Related Posts:

  • Aliyebaka mtawa akamatwa   Polisi nchini India wamemtia mbaroni mwanamume mmoja kuhusiana na ubakaji wa mtawa mmoja wa Kanisa Katoliki katika makaazi ya watawa Magharibi mwa Bengal. Viongozi wa Kikristo nchini India wamekosoa Serikali kwa k… Read More
  • Msilipize kisasa: Malim Seif Katibu Mkuu wa CUF taifa Maalim Seif amewaasa wanachama wa cuf jimbo la Dimani kutolipiza kisasi kwa kitendo cha kuchomewa moto ofisi yao usiku wa kuamkia juzi. Maalim Seif ambaye ni makamo wa kwanza wa Rais wa Zanzibar… Read More
  • Magazeti ya leo hii March 26 haya hapa Leo Alhamisi Tarehe 26 March 2015. Tunakupatia fursa ya kutembelea kurasa za magazeti ya leo hii kama tulivyoyapata … Read More
  • Nay wa Mitego achukua maamuzi magumu kuhusu mtoto Nay wa Mitego na Mtoto wakeNay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa aliyekuwa  Mpenzi wake wa zamani Obasanjo...Japo Wahen… Read More
  • CUF waitaka tume ya Taifa kukili kushindikana kwa kura ya maoni Naibu mkurugenzi wa habari na uenezi wa chama hicho ABDUAL KAMBAYA akizngumza na wanahabari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu mchakato mzima wa uandikishwaji wa daftari la kudumu la wapiga kura katika mfumo wa kielecron… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE