nationalreport.net/california...imal-marriage
Mnamo siku ya Jumatatu historia iliwekwa katika kanisa la Our Lady huko Presidio Francisco jimboni California nchini Marekani.
Mtu mmoja aitwaye Paul Horner pichani mwenye umri wa miaka 35 akiwa amevalia suti yake nadhifu alifunga ndoa na mbwa wake mwaminifu aitwaye Mac.
Mchungaji aliyefungisha ndoa hiyo Father McHale alionyesha kufurahishwa kwake na kitendo cha yeye kufungisha ndoa hiyo ya kihistoria nchini Marekani.
Kwa habari zaidi bofya hapa:
February 01, 2014
5:46 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Google yaamrishwa kubana matangazo ya Ujauzito Mahakama kuu nchini India imeamrisha kampuni kubwa za internet, Google, Yahoo na Microsoft kubana matangazo ya biashara ya kuwapima wanawake wajawazito ili kubaini jinsia ya mtoto kabla ya kuzaliwa. Matanga… Read More
Lipumba asimamishwa mahakamani, aachiwa kwa dhamana Kutoka Kisutu Dar es Salaam. Hatimaye mwenyekiti wa CUF Prof.Ibrahimu Lipumba amefikishwa katika mahakama ya kisutu kwa kosa la jinai mbele ya hakimu Isaya na hivyo amepata Dhamana muda.PROF. Lipumba alika… Read More
Kuhusu Mwenyekiti wa wafanya biashara Tanzania kuachiwa kwa dhamana Hii ni taarifa ambayo imetoka jioni ya January 28 na kusambazwa ikiwa ni kuhusu kuachiwa kwa dhamana kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania ambaye alikamatwa jioni ya January 26,kisha k… Read More
Club ya Olimpia ya Sinza yateketea kwa moto CLUB Olympia iliyoko Sinza-Mori jijini Dar es Salaam, imeungua na kuteketea kwa moto majira ya saa kumi na nusu usiku wa kuamkia leo ambapo chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mapema. Mlinzi wa club h… Read More
Gumzo:mke wa Rais hakujitanda kichwani Mkewe Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama alipowasili nchini Saudi Arabia na mumewe bila ya kujitanda kichwa chake kwa kitambaa, wengi walitarajia kwamba mitandao ya kijamii nchini humo ingewaka moto kw… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment