nationalreport.net/california...imal-marriage
Mnamo siku ya Jumatatu historia iliwekwa katika kanisa la Our Lady huko Presidio Francisco jimboni California nchini Marekani.
Mtu mmoja aitwaye Paul Horner pichani mwenye umri wa miaka 35 akiwa amevalia suti yake nadhifu alifunga ndoa na mbwa wake mwaminifu aitwaye Mac.
Mchungaji aliyefungisha ndoa hiyo Father McHale alionyesha kufurahishwa kwake na kitendo cha yeye kufungisha ndoa hiyo ya kihistoria nchini Marekani.
Kwa habari zaidi bofya hapa:
KITUMBO AIBUKA MEYA MPYA MANISPAA YA SHINYANGA, TAZAMA AKIONGOZA KIKAO CHA
KWANZA BARAZA LA WADIWANI
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga ,Salum Kitumbo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mazingira ya kisiasa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyang...
2 hours ago







0 MAONI YAKO:
Post a Comment