Mwanamuziki anayeongoza kwa kupiga show
nyingine za nje, Ally Kiba alipata kuwa gumzo tena katika jiji la
Muscat baada ya kukonga nyoyo za wapendanao siku ya Valentines kwa
kupiga show kabambe na live band huku kila nyimbo ikiimbwa Live na
kuwafanya wageni waliohudhuria kumshingalia kila mara, Tazama mwenyewe
jinsi mambo yalivyokuwa..
MAMA JANETH MAGUFULI ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU SABASABA
-
NA. MWANDISHI WETU - DAR EA SALAAM
Mke wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, Mama
Janeth Magufuli ametembelea banda Jumuishi ...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment