Mwanamuziki anayeongoza kwa kupiga show
nyingine za nje, Ally Kiba alipata kuwa gumzo tena katika jiji la
Muscat baada ya kukonga nyoyo za wapendanao siku ya Valentines kwa
kupiga show kabambe na live band huku kila nyimbo ikiimbwa Live na
kuwafanya wageni waliohudhuria kumshingalia kila mara, Tazama mwenyewe
jinsi mambo yalivyokuwa..
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment