Wiki kadhaa zimepita sasa tangu kutangazwa kuwa Madam Wema Sepetu kanyang’anywa kila kitu na mtu anaesemekana kuwa alikua mpenzi wake ambae kwa maelezo inasemekana yeye ndiye aliyenunua vitu hivyo,baada ya hapo zikapita story kuwa jamaa kwa sasa anamchukua rafiki wa Wema,sikiliza kupitia Bonyeza play kusikiliza.
MKURUGENZI MTENDAJI WA TASAF-UZINDUZI WA DIRA 2050 NI HATUA YA KIMKAKATI
KUELEKEA TANZANIA YENYE UCHUMI JUMUISHI
-
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Bw. Shedrack
Mziray (Katikati) akiwa na Mkurugenzi Mifumo, Tafiti na Mawasiliano wa
Mfuko wa M...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment