Wiki kadhaa zimepita sasa tangu kutangazwa kuwa Madam Wema Sepetu kanyang’anywa kila kitu na mtu anaesemekana kuwa alikua mpenzi wake ambae kwa maelezo inasemekana yeye ndiye aliyenunua vitu hivyo,baada ya hapo zikapita story kuwa jamaa kwa sasa anamchukua rafiki wa Wema,sikiliza kupitia Bonyeza play kusikiliza.
KAMATI YA BUNGE YA AFYA, UKIMWI YAIPONGEZA BARRICK BULYANHULU KUZINGATIA
KANUNI ZA AFYA
-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imefanya ziara ya
kikazi katika mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu na kupongeza jitihada
zinazo...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment