Watu wengine wamediriki hata kukataza kabisa wapenzi wao wasivae urembo huo, mimi binafsi siwezi kuongozana na mtu amevaa kitu kama hicho. Haya sasa kazi kwako mdau, wewe unaonaje ni sawa urembo huo kutumika, na je mwenza wako akivaa urembo huo, utaafiki..!!?
JINSI NILIVYOSHINDA MABAYA YASIYOELEZEKA NA KUJENGA MAISHA YENYE MAFANIKIO
KUANZIA MWANZO
-
Joyce Kamau alikuwa mwanamke mchapakazi na mwenye tamaa siku zote. Akiwa
amekulia katika Kaunti ya Kiambu, Kenya, aliota kujenga maisha yenye
mafanikio. ...
3 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment