Kuanzia Kulia ni Shilole Baby a.k.a Beyonce akiwa na Madansa wake wawili wakike pamoja na Msanii Raymond wa Tiptop Conection waliweza
kukonga nyoyo za Mashabiki wa Mziki huo wa Kizazi kipya Hapo jana Ndani
ya Makonde Royal Night Club. Show ilisimamiwa na Safari Radio Fm Mtwara.
 |
Muite Madee Rais wa Manzese kutoka kundi la Tip Top Conection aliwasha moto vilivyo ndani ya Makonde Royal Night club katika Show yake iliyoandaliwa na Safari Radio Fm Mtwara. |
Mashabaki nao walipagawa kabisa wakaanza kutema mate sasa
0 MAONI YAKO:
Post a Comment