Masaa machache kabla ya kufikia siku aliyotutoka nguli wa filamu nchini Stiven Kanumba 'KAMUMBA DAY', H Baba kupitia Instagram yake alifunguka kuhusu msanii huyo kwa barua ifuatayo:
Mwanafunzi auawa kwa ugomvi wa chaja ya simu
Watu
wawili wamefariki dunia mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti
likiwemo la mwanafunzi wa chuo cha serikali za mitaa Hombolo, Basil
Msabila (24) kuuawa kwa kupigwa na chuma kichwani na mwenzake aitwaye
Ch…Read More
Sharapova 'kujisafishia jina'
Mchezaji nyota wa tenisi Maria
Sharapova amesema kuwa yuko tayari kujisafisha jina baada ya kupatikana
na dawa za kusisimua misuli.
Katika mtandao wake wa facebook
ambapo amekosoa ripoti potofu na zilizoo…Read More
China yaonywa na Marekani kuhusu visiwa
Visiwa vinavyopiganiwa na Uchina
Marekani imeonya kuwa mpango wa
Uchina, wa kuanza safari za ndege za raia hadi kisiwa chenye mzozo,
katika bahari ya Kusini ya Uchina, unaweza kuzidisha hofu baina ya nc…Read More
Bank ya CRDB Mbagala, ilikumbwa na tukio hili leo hii
NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said
POLISI
wamelazimika kufyatua mabomu ya machozi ili kuwatawanya watu
waliojikusanya mbele ya Benki ya CRDB tawi la Mbagala - Rangi Tatu,
baada ya mtu mmoja aliyekuwa a…Read More
New Audio $ Video: Sauti Sol ft Ally Kiba - Unconditionally
Unconditionally wa Sauti Sol ft Alli Kiba ni moja ya wimbo uliokuwa unasubiliwa kwa hamu kubwa sana. Ni matumaini ya wengi kabisa mlitegemea kuona huu utakuwa ni wimbo bora sana ASfrika Mashariki. Sauti Sol wame…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment