Mashaalah ni jina la wimbo mpya wa Diva ambao anategemea kuuachia rasmi Ijumaa kupitia XXL,Studio iliyohusika na utayarishaji wa wimbo huu ni Sharobaro Records na ndani ya wimbo huu kashirikishwa Producer wa wimbo huu Bob Junior
KITUMBO AIBUKA MEYA MPYA MANISPAA YA SHINYANGA, TAZAMA AKIONGOZA KIKAO CHA
KWANZA BARAZA LA WADIWANI
-
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga ,Salum Kitumbo
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mazingira ya kisiasa ndani ya Halmashauri ya Manispaa ya Shinyang...
2 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment