April 22, 2014

 Mchezaji Sylvain Azougoui alifariki uwanjani baada ya kupiga teke ya kichwani
 Mchezaji wa klabu ya Ac Bongoville,Sylvain Azougoui amefariki baada ya kupigwa teke ya kichwani wakati wa mechi ya ligi kuu nchini Gabon.
Kipa huyo alifariki alipokuwa akipelekwa hospitalini baada ya tokeo hilo wakati wa mechi yao dhidi ya klabu ya Centre Mberi Sportif.
Kipa huyo mwenye umri wa miaka 30 kutoka Togo alikuwa amelisimamisha kombora lililopigwa langoni mwake, lakini mshambulizi alipoteza mwelekeo na kumkanyaga Azougoui kichwani.
Mechi hiyo ya siku ya Jumapili ilichezwa Bongoville ambalo liko umbali wa kilomita 800 kutoka Libreville mji mkuu wa Gabon.
"Ni vigumu sana kushuhudia hali hii ya uchungu ,'' ilisema taarifa katika mtandao wa klabu hiyo

Related Posts:

  • Mohmmed Dewji bado anaongaza kuwa Tajiri namba moja Tanzania #1577 Mohammed Dewji Real Time Net Worth As of 6/12/16 $1.09 Billion Age 41 Source Of Wealth   diversified Residence :Dar es Salaam, Tanzania Citizenship:Tanzania Marit… Read More
  • Brand new Audio:Nyumbani - Braiquiz Baad ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Deka, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Braiquiz amekuja tena na wimbo wak empya unaoitwa Nyumbani. Brai ni mwanamuziki anayetokea mkoani Morogoro na wimbo wake wa Nyumbani unaz… Read More
  • Wanawake waandamana wakidai kunyimwa haki ya ndoa   Baadhi ya wanawake kutoka wadi ya Ndeiya nchini Kenya wameandamana ili kushinikiza waume wao kuwapa haki ya ndoa. Wanawake hawa wanasema kuwa waume wao hulewa kupindukia na kushindwa kutekeleza tendo la ndoa. … Read More
  • Watu 50 wauawa Orlando, Marekani   Watu 50 sasa wanajulikana kuuawa kwa kupigwa risasi wakati wa shambulizi lililotokea kwenye baa moja katika jimbo la Florida, na kuwa moja ya mashambulizi mabaya zaidi katika historia ya Marekani. Watu wengine … Read More
  • Usomaji wa Quran tukufu   Ikiwa tupo ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadfhani,Kwa waislam tukumbuke kuwa mwezi huu ndiyo mwezi ambao kitabu chetu kitakatifu cha Quran kiliteremshwa kikiwa na juzuu 30.Hapa basi tumekuwekea usomaji wa Quran tuk… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE