April 01, 2014

oooooo

Idara ya Hekaheka leo ina taarifa kuhusu shoga mmoja aliyepo Kariako0 ambaye wanawake wa Kariakoo wamejikusanya mpaka kwa shoga huyo kwenda kumkanya na sababu ni tabia ya kuchukua wanaume wao,ungana na Geah Habibu kwenye Hekaheka hii.
88.1 Clouds Fm inasikika ukiwa Mwanza.
Bonyeza play kusikiliza.skukrani kwa Millardayo.com

Related Posts:

  • Mzee Makamba:Rais Magufuli Amefanana na Yohana Mbatizaji Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam  Mzee Yusufu  Makamba asema Rais Magufuli anafanana na Yohana Mbatizaji kwa vile ni kiongozi  … Read More
  • NMB Yadhamini Semina ya Bloggers BENKI ya NMB imedhamini semina ya Wamiliki wa Mitandao ya Kijamii nchini Tanzania maarufu kama ‘Bloggers Network’ (TBN) ambapo imetoa hundi ya shilingi milioni kumi. Hundi hiyo imekabidhiwa leo na Ofisa Uhusiano wa B… Read More
  • Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mabalozi 21   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. John Pombe Magufuli leo, amefanya uteuzi wa Mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Akiitoa taarifa hiyo kwa wana Habari Mkurugenzi wa Mawsiliano Ikulu Ndugu Gerson… Read More
  • Watu binafsi marufuku kuchapa vitabu vya kufundishia Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema serikali imepiga marufuku uchapaji holela wa vitabu vya kufundishia na kujifunzia kwa wachapaji binafsi na badala yake uchapaji huo utasimamiwa n… Read More
  • Video: Maiti yagoma kuzikwa   Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni. Hii imetokea huko nchini Kenya ambapo maiti moja imegoma kuzikw akama ilivyopangwa. Tazama Video hapa               &nb… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE