May 17, 2014

Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Morogoro (MRFA), Hamis Semka (kulia) akimkabidhi cheti mlinda mlango wa klabu ya Yanga, Juma Kaseja baada ya kuhitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika hafla iliyofanyika Bwalo la Umwema, Morogoro. 
  
Picha na Juma Mtanda.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE