May 17, 2014

Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Morogoro (MRFA), Hamis Semka (kulia) akimkabidhi cheti mlinda mlango wa klabu ya Yanga, Juma Kaseja baada ya kuhitimu mafunzo ya awali ya ualimu wa mpira wa miguu na kupata alama ya daraja A katika hafla iliyofanyika Bwalo la Umwema, Morogoro. 
  
Picha na Juma Mtanda.

Related Posts:

  • Mtoto wa Future na Ciara apata dili   Mtoto wa rapper Future na mwanamuziki Ciara, Zahir Wilbur ambaye kwa sasa analelewa na mama yake pamoja na baba yake wa kambo Russel Wilson, amepata dili lake la kwanza la kuingiza fedha nyingi. Zahir ambaye a… Read More
  • Usajili: Yanga yampata mlithi wa Msuva YANGA SC imemsajili kiungo chipukizi, Baruan Yahya Akilimali aliyekuwa anasoma nchini Uganda kwa mkataba wa miaka miwili. Winga huyo wa kulia anayeweza kucheza na upande wa kushoto pia, amesaini leo mkataba wa mia… Read More
  • Tundu Lissu akamatwa uwanja wa Ndege Mbunge Tundu Lissu. Rais wa Chama cha wanasheria Tanganyika  na  Mwanasheria wa CHADEMA Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amekamatwa na polisi Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Da… Read More
  • Exclusive: nipo tayari kujiunga WCB Barakah The Prince Mwanamuziki Barakah Da Prince amesema yupo tayari kujiunga na lable ya WCB inayomilikiwa na mwanamuziki Diamond. Akizungumza katika kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Fm kinachoongwa na Diva The Bawse, Baraka amesema. T… Read More
  • Siogopi kufungwa – Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema atawatetea Watanzania kwa nguvu zake zote juu ya majizi huku akisema haogopi kufungwa badala yake majizi ndio yatakayo fungwa. Rais Mgufuli ames… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE