Kuhusu hirizi ya Chege na kumshambulia ,Maumartha naye ajibuBaada ya Chege kumbwatukia Maimartha aliposema amevaa hirizi kule dodoma kwenye shoo maimartha aamua kumtolea uvivu vhege na kufunguka instagram kama ifuatavyo
@chegechigunda this is too much embu koma kunitukana mpuuzi ni we…Read More
Chenge, Ngeleja, Tibaijuka OutKamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi kimewasimamisha ujumbe wa Halmshauri Kuu ya chama hicho NEC wanachama wake watatu ambao ni wajumbe wa NEC kufuatia na kuhusika kwao katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow.
Wajumbe hao ni m…Read More
Diamond atajwa kuwania tuzo nyinge kubwa Africa
Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za 16 za Vodafone
Ghana Music (Awards), VGMA 2015. Majina ya wasanii watakaowania tuzo
hizo yametajwa kwenye hoteli ya La Palm Royal Beach Hotel jijini Accra,
jana Ijumaa, Februar…Read More
Nisha afunguka uhusiano wake na Nay ndani ya Papaso
Msanii wa Filamu nchini, Salma Jabu maarufu Nisha, ameongea mambo mengi kuhusiana na sanaa yake, wasanii na mahusinao yake ya kimapenzi na msanii Nay wa Mitego. Akizungumza na D'Jaro Alungu ndani ya Pap…Read More
Msiba:Kapten John Komba amefariki dunia
Mbunge wa Mbinga Mh: john Komba, amefariki Dunia jioni hii. Taarifa za kifo cheke zimetolewa katika A/C ya Twitter ya CCM na kusambaa katika vyombo mbalimbali .
Kepteni Komba enzi za uha…Read More
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment