February 20 ndiyo siku ulitoka rasmi wimbo huu ambao kwa sasa ni miongoni mwa nyimbo zilizo kwenye chati ya juu kwenye radio mbalimbali Tanzania,huu unaitwa Umenuna kwa sasa tarehe rasmi ya kuachiwa video hii bado haijatajwa lakini ni muda wowote kutoka sasa tegemea kuiona kupitia vituo mbalimbali vya televisheni,Director wa video hii ni Abby Kaz.
JACKLINE ISARO AANZA RASMI MAJUKUMU KUTUMIKIA NGOKOLO...."SITAKUWA DIWANI
WA MANENO"
-
Diwani wa Kata ya Ngokolo, Jackline Isaro, ameanza rasmi majukumu yake
baada ya kula kiapo cha udiwani leo Desemba 4, 2025, akiahidi kusimama
imara katika...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment