May 10, 2014


2dog 
Kwa Tanzania  ukitaja wasanii watatu bora ambao kupitia soko la kuuza album walitoa copy nyingi sana bila shaka huwezi kuliacha nyuma jina la Mb Dogg ingawa kwa sasa soko la kuuza album kwa wasanii wa Bongo Fleva kama wameliacha hivi lakini kwa Mb Dogg bado ana rekodi nzuri juu ya soko hilo.
February 20 ndiyo siku ulitoka rasmi wimbo huu ambao kwa sasa ni miongoni mwa nyimbo zilizo kwenye chati ya juu kwenye radio mbalimbali Tanzania,huu unaitwa Umenuna kwa sasa tarehe rasmi ya kuachiwa video hii bado haijatajwa lakini ni muda wowote kutoka sasa tegemea kuiona kupitia vituo mbalimbali vya televisheni,Director wa video hii ni Abby Kaz.
9dog 

8dog 

7dog 

6dog 

5dog 

4dog

3dog 

1dog

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE