Wakati tetesi mtaani zinadai Producer mkongwe Master Jay ana mpango wa
kuandaa mkutano wa waandishi wa habari ili kumtambulisha Mwanadada Shaa
kama mchumba wake, ikiwa ni ya baada ya MJ kushawishiwa na mama yake
mzazi ambaye anafahamu mahusiano ya wawili hao kwa karibu miaka 10 au
zaidi, sasa Gazeti la makorokocho limetonywa juu ya Serengeti boy
aliyemrithi MJ kwa Wife wake Rose Marry,
Bibie Rose Marry
Kwanza kabla sijakuambia kuhusu Serengeti boy K Style, ngoja nikuambie
situation iliyopo kati ya Master Jay, RoseMarry (Wife wake MJ
waliyefunga ndoa ya kanisa) na Shaa, zaidi ya miaka 10 iliyopita Mj na
RoseMarry mahusiano yao yalianza kulega lakini kutokana na ndoa ya
Kanisani haivunjiki kirahisi ikabidi watengane nyumba, Mj akaanzisha
mahusiano na msanii Shaa, Mj akahamia katika nyumba yake nyingine Mbezi
pamoja na Shaa na kumwacha bibie Rose pamoja na watoto wao watatu waishi
Masaki pale ambapo zipo studio za MJ Records ambapo wanaishi mpaka leo
na ndoa hiyo imeshindikana kuvunjika na hawashirikiani kinyumba, back to
the point Serengeti boy wa Rose Marry namwita serengeti boy kwasababu
umri wake ni mdogo, ingawa wataalamu wa mambo wanasema age is nothing
but a number, sasa inasemekana eti Mrithi wa Mj ni msanii wa Bongo Flava
mwenye swagg nyingi anapo Rap na ni mshindi wa shindano la Serengeti
Fiesta 2013 KStyle na wao wanampango wa kujitangaza rasmi, Nilipomuliza
Master Jay kuhusu msanii huyo kumrithi akanijibu "ni vyema unajua tena
binadamu tunatakiwa kuwa wawili wawili"
IGP Mangu: Sina taarifa za Rais kumpandisha cheo askari
Amesema
hajapewa taarifa za Rais Magufuli kuagiza koplo Deogratius Mbango
kupandishwa cheo baada ya kumdhibiti mke wa mmoja wa mawaziri wa
serikali yake kwa kosa la kukiuka sheria za usalama barabarani."
Bado haj…Read More
Tazama Afrokid Documentary iliyofanyika Morogoro, itakuliza
Afrokid Documentary inaangaza maisha ya mtoto, Dame Jumanne anayeishi katika kijiji cha Ruvuma, kilichopo mkoani Morogoro. Dame anakabiliwa na ugumu wa maisha kutokana na familia yake kuwa maskini na huku akilazimika…Read More
Iyobo afunguka kuhusu Aunt Ezekiel
Baada
ya kuzagaa tetesi kwenye mitandao ya kijamii kuwa dansa wa Diamond,
Mose Iyobo na mama mtoto wake Aunt Ezekiel, wameachana na kila mtu
anaishi kwake, Mose amefunguka na kusema mahusiano yao yapo salama
kabisa.
…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment