May 12, 2014

 
Mbunge wa Kigoma Mh Ziito Kabwe amekabithiwa cheo na umoja wa kamati za mahesabu ya serikali ya nchi za SADC (SADCOPAC) 
 
Zitto amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa umoja wa kamati za mahesabu za nchi za Africa kuziba nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Msumbiji.

Ni dhahiri mapambano dhidi ya ufisadi katika bara la Afrika yatafanikiwa iwapo mabunge ya wananchi yanasimamia vema serikali. Ni heshima kubwa kwa nchi yangu kupata fursa hii ya kujenga utamaduni wa uwajibikaji kupitia kamati za BUNGE za mahesabu. Ni changamoto kubwa ninayoipokea kwa unyenyekevu mkubwa. Kuwa Katibu Mkuu wa AFROPAC ni fursa ya kujitoa kujenga Afrika Mpya yenye kujali rasilimali za umma kama Mali ya wananchi. Mungu atanilinda na kunisaidia katika kutimiza wajibu huu.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE