Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na
Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya
kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa
kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar.
Inasikitisha Jamani ...RIP
By Pendo Lyimo
Azam FC yampa mkataba wa miaka 3 kiungo Agyei kutoka Ghana
Klabu Bingwa ya Azam FC, unayofuraha kuwaataarifu wapenzi
wa soka kuwa umefanikiwa kuingia mkataba wa miaka mitatu na kiungo
mshambuliaji kutoka Ghana, Enock Atta Agyei.
Agosti mwaka huu, Azam FC tuliingi…Read More
Kurasa za Magazetini leo hii Jumapili ya 13 November
Habari mpenzi msimaji. Karibu katika kurasa za magazetini leo hii Jumapili ya 13 November 2016. Tumekukusanyia vichwa vya habari za mbele na za nyumba katika kurasa za magazetini leo hii. Kwa habari za…Read More
Mshindi wa supa Nyota Medy Botion Avunja ukimya,
Mshindi wa Fiesta Supa Nyota 2016 mkoa wa Morogoro Medy Botion, ameamua kuvunja ukimya juu ya tabia inayofanywa na baadhi ya wasanii hapa nchini na wadau hapa nchini. Katika ukurasa wake wa Facebook Botion ana…Read More
SHILAWADU walivyo vamia harusi ya Nuh Mziwanda
Taarifa zilianza kuzagaa kwenye mitandaio ya kijamii kuhusu mwanamuziki Dume Shupa Nuh mziwanda kufunga pingu za maisha na baby wake Nahwal .
Katika kutuletea tukio zima l…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment