June 03, 2014

 


  

 

 Safari ya Mwisho ya Nasra.kutoka hospitali ya mkoa wa Morogoro hadi Jamhuri stadium na baadaye Makaburi ya Kolla.Tunaamini sisi tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.alikuonesha ili.iwe fundisho na aibu kwa waiokutenda.TUPINGE VIKALI UKATILI DHIDI ya watoto,dhidi ya wanawake,dhidi ya watu wasiokuwa na hatia.INAUMIZA SANA NA INANITOA MACHOZI!RIP NASRA AKA MTOTO BOKSI.WE LOVE U!

Hii ni kutoka kwa idda.mushi

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE