MTOTO
Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na
mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa
karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika
Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba,
tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.
WALIMU WA MASOMO YA HISABATI NA KIINGEREZA DODOMA WANOLEWA
-
Na.Francisca Mselemu - Habari - DODOMA RS
Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mkoa wa
Dodoma Mwalimu Vincent B. Kayombo leo M...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment