MTOTO
Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na
mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa
karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika
Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba,
tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.
June 01, 2014
8:41 AM
Machaku
No comments
Related Posts:
Habari za magazeti ya leo Jumamosi 26 March 2016 Habari za Asubhi mpenzi msomaji wa ubalozini.blogspot.com, karibu tena katika ukurasa za magazeti ya leo hii Jumamosi 26 March 2016. Kurasa za magazeti ya leo zimebebwa na habari kubwa mbalimbali … Read More
Rais Magufuli na mkewe washiriki misa ya Ijumaa kuu katika kanisa hili Leo ni ni siku ya Ijumaa kuu. Waumini wa dini ya kikristu, nchini wameungana na wenzao duniani kuadhimisha siku hii kwa ibada maalu katika makanisa mbalimbali Kwa upande wake Rais wa Jamhuri ya Muunga… Read More
BREAKING NEWS:Kiongozi wa IS auwawa Kiongozi wa pili kwa ukubwa katika itifaki ya kundi la wapiganaji la Islamic State ameuawa katika oparesheni iliotekelezwa na Marekani nchini Syria mwezi huu, vyombo vya habari vya Marekani vimesema. Maafisa wa… Read More
Albam ya Yemi Alade ijulikanayo kama mama Afrika ipo tayari. Na huu ndiyo wimbo uliobeba jina la Albam hiyo Mwanamuziki anayefanya poa sana kwa sasa katika bara la Afrika, Yemi Alade toka nchini Nigeria, amechia Albam yake inayokwenda kwa jina la Mama Afrika. Wimbo uliobeba jina la Albam ni huu hapa YEMI ALADE -… Read More
Paul Makonda aombewa tena MUFTI wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubery amemuombea dua, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam pamoja na Rais Dk. John Magufuli ili waweze kulitumikia vema taifa na kuliletea maendeleo. Zubery alimfanyia dua hiyo Makon… Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment