Leo, amezaliwa mdau wa Media Tanzania, toka Moro Gairo anaitwa Willson Chigolo, tumekuwa nae siku zote katika harakati zetu hizi. KUPITIA www.ubalozini.blogspot.com Hatuna budi kukutakia maisha marefu, kheri nyingi na baraka tele, Mungu akujaalie na akupe kila hitajio la Nafsi yako. Tupo pamoja.
Vodacom, Jubilee Allianz Tanzania wajipanga ‘kuinogesha’ NBC Dodoma
Marathon, wakabidhiwa jezi
-
WADHAMINI wa mbio za NBC Dodoma Marathon Kampuni ya Mawasiliano ya
Vodacom Tanzania na...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment