Leo, amezaliwa mdau wa Media Tanzania, toka Moro Gairo anaitwa Willson Chigolo, tumekuwa nae siku zote katika harakati zetu hizi. KUPITIA www.ubalozini.blogspot.com Hatuna budi kukutakia maisha marefu, kheri nyingi na baraka tele, Mungu akujaalie na akupe kila hitajio la Nafsi yako. Tupo pamoja.
NDOTO MBAYA ZAFIKIA MWISHO: AMOS ASIMULIA MASAIBU YAKE
-
Kwa miaka mingi, maisha yangu, Amos, mwanakijiji wa makamo kutoka Kijiji
kidogo cha Sokoine, yalikosa amani. Sikuwa mgonjwa kimwili, lakini ndani ya
roh...
8 hours ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment