Huu ni wimbo mpya kabisa kutoka kwa vichwa viwili vinavyofanya poa sana katika anga ya muziki wa kizazi kipya. Naamini wengi wenu mlikuwa mkisubilia kwa hamu sana muungano wa watu hawa wawili. Hapa wanazungumzia kuhusu mziki unaofanywa nao kwa pande mbili tofauti
Lowassa achukizwa na serikali ya Dar
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA na aliyekuwa Waziri Mkuu, Mh. Edward Lowassa amelaani vikali kitendo cha serikali ya Mkoa wa Dar es salam kuzuia kongamano la demokrasia lililopangwa kufanyika siku ya leo may 1…Read More
Shambulizi la uhalifu wa mtandao laathiri mataifa 99 duniani
Sambulizi la kihalifu mitandaoni
lililotendeka kupitia utumizi wa vifaa vinavyoaminika kuibwa kutoka
kitengo cha ujasusi nchini Marekani NSA limeathiri mashirika tofauti
duniani.
Kampuni ya kulinda uhalifu wa mi…Read More
TRA Wakana kuhsu Ml 400 za Diamond
Mkurugenzi
wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania,
(TRA), Bw. Richard Kayombo (katikati), akitoa hotuba ya ufunguzi wa
semina ya siku moja ya ujasiriamali na elimu ya kulipa kodi kwa
waandi…Read More
Ashikiliwa na Polisi kwa kumuua mumewe kisa wivu
MKAZI wa Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, Khadija Mbarouk (44),
anashikiliwa na polisi kwa madai ya kumuua mumewe kwa sababu
zilizoelezwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
Mtuhumiwa huyo inadaiwa alimchom…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment